Monday, May 25, 2020

Tume Ya Maendeleo Ya Ushirika Kuja Na Mikakati Ya Kukabiliana Na Upungufu Wa Sukari Nchini


Tume ya Maendeleo ya Ushirika nchini imeweka wazi azma yake ya kusimamia mikakati kazi ya uvunaji wa miwa kwa msimu huu mpya wa mwaka 2020. Hii ikiwa ni hatua ya kukabiliana na upungufu wa bidhaa ya sukari nchini.

1 comment: