Tume Ya Maendeleo Ya Ushirika Kuja Na Mikakati Ya Kukabiliana Na Upungufu Wa Sukari Nchini
Tume ya Maendeleo ya Ushirika nchini imeweka wazi azma yake ya kusimamia
mikakati kazi ya uvunaji wa miwa kwa msimu huu mpya wa mwaka 2020. Hii
ikiwa ni hatua ya kukabiliana na upungufu wa bidhaa ya sukari nchini.
Kazi nzuri, hongera sana Ushirika Blogger
ReplyDelete